Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Ulam
1 Mambo ya Nyakati 7 : 17
17 ② Na wana wa Ulamu; Bedani. Hao ndio wana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase.
1 Mambo ya Nyakati 8 : 40
40 Na wana wa Ulamu walikuwa watu hodari wa vita, wapiga upinde, nao walikuwa na wana wengi, na wana wa wana, watu mia moja na hamsini. Hao wote ndio waliokuwa wana wa Benyamini.
Leave a Reply