Biblia inasema nini kuhusu ufufuo wa Kristo – Mistari yote ya Biblia kuhusu ufufuo wa Kristo

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia ufufuo wa Kristo

1 Petro 1 : 3
3 Ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa rehema zake nyingi alituzaa mara ya pili ili tupate tumaini lenye uzima kwa kufufuka kwake Yesu Kristo katika wafu;

Warumi 10 : 9
9 Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *