Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Ufuasi
Mathayo 10 : 39
39 ⑬ Mwenye kuiona nafsi yake ataipoteza; naye mwenye kuipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ataiona.
Luka 14 : 27
27 ⑧ Mtu yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kuja nyuma yangu, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.
Luka 14 : 33
33 Basi, kadhalika kila mmoja wenu asiyeacha vyote alivyo navyo, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.
Leave a Reply