Biblia inasema nini kuhusu Uchunguzi – Mistari yote ya Biblia kuhusu Uchunguzi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Uchunguzi

Mhubiri 1 : 18
18 Yaani, Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni; Naye aongezaye maarifa huongeza masikitiko.

Mhubiri 2 : 12
12 Nikageuka ili kuipambanua hekima, na wazimu na upumbavu. Kwa maana mtu amfuataye mfalme afanye nini? Lilo hilo tu lililokwisha kufanywa.

Mhubiri 12 : 14
14 ⑥ Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au likiwa baya.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *