Biblia inasema nini kuhusu uaminifu – Mistari yote ya Biblia kuhusu uaminifu

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia uaminifu

Tito 2 : 7
7 katika mambo yote ukijionesha wewe mwenyewe kuwa kielelezo cha matendo mema, na katika mafundisho yako ukionesha usahihi na ustahivu,

2 Wakorintho 2 : 17
17 ① Kwa maana sisi si kama walio wengi, walichuuzao neno la Mungu; bali kama kwa weupe wa moyo, kama kutoka kwa Mungu, mbele za Mungu, twanena katika Kristo.

Wafilipi 1 : 10
10 mpate kuyakubali yaliyo mema; ili mpate kuwa na mioyo safi, bila kosa, mpaka siku ya Kristo;

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *