Biblia inasema nini kuhusu Timna – Mistari yote ya Biblia kuhusu Timna

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Timna

Mwanzo 36 : 12
12 Na Timna alikuwa suria wa Elifazi, mwana wa Esau; naye akamzalia Elifazi Amaleki. Hao ndio wana wa Ada, mkewe Esau.

Mwanzo 36 : 22
22 Na wana wa Lotani, ni Hori, na Hemamu; na dada yake Lotani ni Timna.

1 Mambo ya Nyakati 1 : 39
39 Na wana wa Lotani; Hori, na Hemamu; na Timna ni dada yake Lotani.

1 Mambo ya Nyakati 1 : 36
36 Wana wa Elifazi; Temani, na Omari, na Sefo, na Gatamu, na Kenazi, na, kwa Timna, Amaleki.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *