Biblia inasema nini kuhusu Tembeo โ€“ Mistari yote ya Biblia kuhusu Tembeo

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Tembeo

Mithali 26 : 8
8 Kama mfuko wa vito katika chungu ya mawe; Kadhalika mtu amheshimuye mpumbavu.

1 Samweli 17 : 50
50 โ‘ฑ Hivyo Daudi akamshinda yule Mfilisti kwa kombeo na jiwe, akampiga Mfilisti, akamwua; walakini Daudi hakuwa na upanga mkononi mwake.

Waamuzi 20 : 16
16 Katika watu hao wote walikuwako wanaume mia saba waliochaguliwa, wenye shoto; kila mmoja alikuwa anaweza kuutupia unywele mawe kwa kombeo, wala asikose.

Waamuzi 20 : 16
16 Katika watu hao wote walikuwako wanaume mia saba waliochaguliwa, wenye shoto; kila mmoja alikuwa anaweza kuutupia unywele mawe kwa kombeo, wala asikose.

2 Wafalme 3 : 25
25 โ‘ฒ Wakaibomoa ile miji; wakatupa katika kila mahali palipo pema kila mtu jiwe lake, wakapajaza; wakaziziba chemchemi zote za maji, wakaikata miti yote iliyo mizuri; mpaka katika Kir-haresethi tu wakayasaza mawe yake; ila wenye kombeo wakauzunguka wakaupiga.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *