Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Tema
Mwanzo 25 : 15
15 na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.
1 Mambo ya Nyakati 1 : 30
30 na Mishma, na Duma, na Masa, na Hadadi, na Tema;
Ayubu 6 : 19
19 Misafara ya Tema huvitazama, Majeshi ya Sheba huvingojea.
Isaya 21 : 14
14 Waleteeni wenye kiu maji, Enyi wenyeji wa nchi ya Tema; Nendeni kuwalaki wakimbiao na chakula chao.
Yeremia 25 : 23
23 Dedani, na Tema, na Buzi, na watu wote wakatao denge;
Leave a Reply