Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia tamu
Mithali 24 : 13
13 Mwanangu, ule asali, kwa maana ni njema, Na sega la asali lililo tamu ulionjapo.
Isaya 38 : 18
18 Kwa kuwa kuzimu hakuwezi kukusifu; mauti haiwezi kukuadhimisha; Wale washukao shimoni hawawezi kuutumainia uaminifu wako.
Leave a Reply