Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia takatifu
Isaya 6 : 3
3 Wakaitana, kila mmoja na mwenzake, wakisema, Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, ni BWANA wa majeshi; dunia yote imejaa utukufu wake.
1 Petro 1 : 16
16 kwa maana imeandikwa, Mtakuwa watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu.
Leave a Reply