Biblia inasema nini kuhusu taji โ€“ Mistari yote ya Biblia kuhusu taji

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia taji

Yakobo 1 : 12
12 Heri mtu astahimiliye majaribu; kwa sababu akiisha kukubaliwa ataipokea taji la uzima, Bwana aliyowaahidia wampendao.

1 Petro 5 : 4
4 โ‘ฎ Na Mchungaji mkuu atakapodhihirishwa, mtalipokea taji la utukufu, lile lisilokauka.

Ufunuo 3 : 11
11 โ‘ฒ Naja upesi. Shika sana ulicho nacho, asije mtu akaitwaa taji yako.

Isaya 62 : 3
3 Nawe utakuwa taji la uzuri katika mkono wa BWANA, na kilemba cha kifalme mkononi mwa Mungu wako.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *