Biblia inasema nini kuhusu Sofari – Mistari yote ya Biblia kuhusu Sofari

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Sofari

Ayubu 2 : 11
11 Basi ikawa hao marafiki watatu wa Ayubu walipopata habari ya mabaya hayo yote yaliyomfikia, wakaja kila mtu kutoka mahali pake; nao ni Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi; wakapatana pamoja ili waende kumfariji Ayubu na kumtuliza moyo.

Ayubu 42 : 9
9 Basi Elifazi, Mtemani, na Bildadi, Mshuhi, na Sofari, Mnaamathi, wakaenda, wakafanya kama vile BWANA alivyowaamuru; naye BWANA akamridhia Ayubu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *