Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Sinews
Ayubu 10 : 11
11 Umenivika ngozi na nyama, Na kuniunga pamoja kwa mifupa na mishipa.
Ayubu 30 : 17
17 ⑭ Wakati wa usiku mifupa yangu huchomeka ndani yangu, Na maumivu yanayonitafuna hayapumziki.
Isaya 48 : 4
4 ⑬ Kwa sababu nilijua ya kuwa wewe u mkaidi, na shingo yako ni shingo ya chuma, na kipaji cha uso wako ni shaba;
Ezekieli 37 : 6
6 ⑤ Nami nitatia mishipa juu yenu, nami nitaleta nyama iwe juu yenu, na kuwafunika ngozi, na kutia pumzi ndani yenu, nanyi mtaishi; nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi BWANA.
Ezekieli 37 : 8
8 Nikatazama, kumbe! Kulikuwa na mishipa juu yake, nyama ikatokea juu yake, ngozi ikaifunika juu yake; lakini haikuwemo pumzi ndani yake.
Leave a Reply