Biblia inasema nini kuhusu Shobal – Mistari yote ya Biblia kuhusu Shobal

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Shobal

Mwanzo 36 : 20
20 Hawa ni wana wa Seiri, Mhori, wenyeji wa nchi ile; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana,

Mwanzo 36 : 23
23 Na hawa ni wana wa Shobali, Alvani, na Manahathi, na Ebali, na Shefo, na Onamu.

Mwanzo 36 : 29
29 Hawa ndio majumbe waliotoka katika Wahori; jumbe Lotani, jumbe Shobali, jumbe Sibeoni, jumbe Ana,

1 Mambo ya Nyakati 1 : 38
38 Na wana wa Seiri; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana, na Dishoni, na Eseri, na Dishani.

1 Mambo ya Nyakati 1 : 40
40 Wana wa Shobali; Alvani, na Manahathi, na Ebali, na Shefo, na Onamu. Na wana wa Sibeoni; Aya, na Ana.

1 Mambo ya Nyakati 2 : 50
50 Hao walikuwa wana wa Kalebu. Wana wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrata; Shobali, babaye Kiriath-Yearimu;

1 Mambo ya Nyakati 2 : 52
52 Naye Shobali, babaye Kiriath-Yearimu, alikuwa na wana; Haroe, na nusu ya Wamenuhothi.

1 Mambo ya Nyakati 4 : 2
2 Na Reaya, mwana wa Shobali, akamzaa Yahathi; na Yahathi akawazaa Ahumai, na Lahadi. Hizo ndizo jamaa za Wasorathi.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *