Biblia inasema nini kuhusu Shobab – Mistari yote ya Biblia kuhusu Shobab

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Shobab

2 Samweli 5 : 14
14 Na haya ndiyo majina ya hao waliozaliwa kwake huko Yerusalemu; Shamua, na Shobabu, na Nathani, na Sulemani,

1 Mambo ya Nyakati 3 : 5
5 Na hawa alizaliwa huko Yerusalemu; Shamua, na Shobabu, na Nathani, na Sulemani, wanne, wana wa Bathsheba, binti Eliamu;

1 Mambo ya Nyakati 14 : 4
4 Na haya ndiyo majina ya watoto aliozaliwa huko Yerusalemu; Shamua, na Shobabu, na Nathani, na Sulemani;

1 Mambo ya Nyakati 2 : 18
18 Basi Kalebu, mwana wa Hesroni, akazaliwa wana na mkewe Azuba, na Yeriothi, na hawa ndio wanawe wa kiume; Yesheri, na Shobabu, na Ardoni.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *