Biblia inasema nini kuhusu Shibolethi – Mistari yote ya Biblia kuhusu Shibolethi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Shibolethi

Waamuzi 12 : 6
6 ndipo walipomwambia, Haya, tamka sasa neno hili, Shibolethi; naye akasema, Sibolethi; kwa maana hakuweza kufanya midomo yake kutamka neno hilo sawasawa; ndipo wakamshika, na kumwua hapo penye vivuko vya Yordani; basi wakaanguka watu elfu arubaini na mbili wa Efraimu wakati huo.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *