Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Sheshaki
Yeremia 25 : 26
26 na wafalme wote wa kaskazini, walio mbali na walio karibu, wote pamoja; na falme zote za dunia, zilizoko katika dunia; na mfalme wa Sheshaki[5] atakunywa baada yao.
Yeremia 51 : 41
41 Jinsi Sheshaki[10] alivyotwaliwa! Naye sifa ya dunia yote alivyoshambuliwa! Jinsi Babeli alivyokuwa ukiwa Katikati ya mataifa!
Leave a Reply