Biblia inasema nini kuhusu sheria – Mistari yote ya Biblia kuhusu sheria

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia sheria

2 Timotheo 3 : 16
16 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki;

Wagalatia 3 : 24
24 Hivyo torati imekuwa kiongozi kutuleta kwa Kristo, ili tuhesabiwe haki kwa imani.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *