Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Shemida
Hesabu 26 : 32
32 na wa Shemida, jamaa ya Washemida; na wa Heferi, jamaa ya Waheferi.
Yoshua 17 : 2
2 Na kura ilikuwa ni ya hao wana wa Manase waliosalia kwa kufuata jamaa zao; kwa wana wa Abiezeri, kwa wana wa Heleki, kwa wana wa Asrieli, kwa wana wa Shekemu, kwa wana wa Heferi na kwa wana wa Shemida; hao ndio wana wa kiume wa Manase, mwana wa Yusufu, kwa kufuata jamaa zao.
1 Mambo ya Nyakati 7 : 19
19 Na wana wa Shemida walikuwa Ahiani, na Shekemu, na Liki, na Aniamu.
Leave a Reply