Biblia inasema nini kuhusu Shema – Mistari yote ya Biblia kuhusu Shema

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Shema

Yoshua 15 : 26
26 Amamu, Shema, Molada;

1 Mambo ya Nyakati 2 : 44
44 Naye Shema akamzaa Rahamu, babaye Yorkeamu; na Rekemu akamzaa Shamai.

1 Mambo ya Nyakati 5 : 8
8 ① na Bela, mwana wa Azazi, mwana wa Shemaya, mwana wa Yoeli, aliyekaa huko Aroeri, hadi Nebo na Baal-meoni;

1 Mambo ya Nyakati 5 : 4
4 Wana wa Yoeli; mwanawe huyo ni Shemaya, na mwanawe huyo ni Gogu, na mwanawe huyo ni Shimei;

1 Mambo ya Nyakati 8 : 13
13 ⑯ na Beria, na Shema, waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao miongoni mwa wenyeji wa Aiyaloni, wale ambao waliwakimbiza wenyeji wa Gathi.

Nehemia 8 : 4
4 Naye Ezra, kuhani, akasimama juu ya mimbari ya mti, waliyokuwa wameitengeneza kwa kusudi hilo; na karibu naye wakasimama Matithia, na Shema, na Anaya, na Uria, na Hilkia, na Maaseya, mkono wake wa kulia; na mkono wake wa kushoto, Pedaya, na Misbaeli, na Malkiya, na Hashumu, na Hashbadani, na Zekaria, na Meshulamu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *