Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Sela
2 Wafalme 14 : 7
7 ⑪ Akawaua Waedomi katika Bonde la Chumvi watu elfu kumi; akautwaa Sela vitani, akauita jina lake Yoktheeli hata leo.
Isaya 16 : 1
1 Pelekeni wana-kondoo, kodi yake aitawalaye nchi toka Sela kuelekea jangwani, mpaka mlima wa binti Sayuni.
Leave a Reply