Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Segub
1 Wafalme 16 : 34
34 Katika siku zake, Hieli Mbetheli akajenga Yeriko; akatia misingi yake kwa kufiwa na Abiramu mzaliwa wake wa kwanza, na kuyaweka malango yake kwa kufiwa na mwana wake mdogo Segubu; sawasawa na neno la BWANA alilolinena kwa Yoshua mwana wa Nuni.
1 Mambo ya Nyakati 2 : 5
5 ⑤ Wana wa Peresi; Hesroni, na Hamuli.
1 Mambo ya Nyakati 2 : 22
22 Na Segubu akamzaa Yairi, aliyekuwa mwenye miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.
Leave a Reply