Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Satire
1 Samweli 2 : 10
10 ① Washindanao na BWANA watapondwa kabisa; Toka mbinguni yeye atawapigia radi; BWANA ataihukumu dunia yote; Naye atampa mfalme wake nguvu, Na kuitukuza pembe ya masihi[2] wake.
1 Samweli 1 : 10
10 Naye huyo mwanamke alikuwa na uchungu rohoni mwake, akamwomba BWANA akalia sana.
Mathayo 23 : 33
33 Enyi nyoka, wana wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya Jehanamu?
Marko 12 : 40
40 ambao hula nyumba za wajane, na kwa unafiki husali sala ndefu; hawa watapata hukumu iliyo kubwa.
Leave a Reply