Biblia inasema nini kuhusu Satir – Mistari yote ya Biblia kuhusu Satir

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Satir

Mambo ya Walawi 17 : 7
7 Wala hawatatoa tena sadaka zao kwa wale majini, ambao huwafuata ili wafanye uasherati nao. Sheria hii itakuwa sheria ya milele kwao, kizazi baada ya kizazi.

2 Mambo ya Nyakati 11 : 15
15 naye akajiwekea makuhani wa mahali pa juu, na wa wale majini, na wa zile ndama alizozitengeneza.

Isaya 13 : 21
21 ⑩ Lakini huko watalala wanyama wakali wa nyikani; na nyumba zao zitajaa bundi; mbuni watakaa huko; na majini watacheza huko.

Isaya 34 : 14
14 Na hayawani wa nyikani watakutana na mbwamwitu, na beberu anamwita mwenziwe; naam, babewatoto anakaa huko na kupata pahali pa kustarehe.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *