Biblia inasema nini kuhusu Sarid – Mistari yote ya Biblia kuhusu Sarid

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Sarid

Yoshua 19 : 10
10 Kisha sehemu ya tatu ilitokea kwa ajili ya wana wa Zabuloni kwa kufuata jamaa zao; na mpaka wa urithi wao ulifikia hadi Saridi;

Yoshua 19 : 12
12 kisha ukazunguka kutoka Saridi kwendelea upande wa mashariki kwa kuelekea maawio ya jua hata kufikia mpaka wa Kisiloth-ubori; kisha ukatokea hata Daberathi, kisha ukakwea kwendelea Yafia;

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *