Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Salma
1 Mambo ya Nyakati 2 : 51
51 Salma, babaye Bethlehemu; na Harefu, babaye Beth-gaderi.
1 Mambo ya Nyakati 2 : 54
54 Na wana wa Salma; Bethlehemu, na Wanetofathi, Atroth-beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi, na Wazori.
Ruthu 4 : 21
21 na Salmoni akamzaa Boazi; na Boazi akamzaa Obedi;
1 Mambo ya Nyakati 2 : 11
11 ⑪ na Nashoni akamzaa Salmoni; na Salmoni akamzaa Boazi;
Mathayo 1 : 5
5 Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu; Boazi akamzaa Obedi kwa Ruthu; Obedi akamzaa Yese;
Luka 3 : 32
32 ⑬ wa Yese, wa Obedi, wa Boazi, wa Salmoni, wa Nashoni,
Leave a Reply