Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Salah
Mwanzo 10 : 24
24 ⑮ Arfaksadi akamzaa Sela, Sela akamzaa Eberi.
Mwanzo 11 : 15
15 Sela akaishi baada ya kumzaa Eberi miaka mia nne na mitatu, akazaa wana, wa kiume na wa kike.
1 Mambo ya Nyakati 1 : 18
18 Na Arfaksadi akamzaa Sala, na Sala akamzaa Eberi.
1 Mambo ya Nyakati 1 : 24
24 Shemu, na Arfaksadi, na Sala;
Luka 3 : 35
35 wa Serugi, wa Regau, wa Pelegi, wa Eberi, wa Sala,
Leave a Reply