Biblia inasema nini kuhusu Rufaa – Mistari yote ya Biblia kuhusu Rufaa

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Rufaa

Matendo 25 : 11
11 Basi ikiwa ni mkosa au nimetenda neno la kustahili kufa, sikatai kufa; bali, kama si kweli neno hili wanalonishitaki, hapana awezaye kunitia mikononi mwao. Nataka rufani kwa Kaisari.

Matendo 25 : 27
27 Kwa maana naona ni neno lisilo maana kumpeleka mfungwa, bila kuonesha mashitaka yale aliyoshitakiwa.

Matendo 26 : 32
32 Agripa akamwambia Festo, Mtu huyo angeweza kufunguliwa, kama asingalitaka rufani kwa Kaisari.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *