Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Ruby
Ayubu 28 : 18
18 Havitatajwa fedhaluka wala bilauri; Naam, kima cha hekima chapita marijani.
Mithali 20 : 15
15 Dhahabu iko, na marijani tele; Lakini midomo ya maarifa ni kito cha thamani.
Mithali 31 : 10
10 Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana thamani yake yapita thamani ya marijani.
Maombolezo 4 : 7
7 Wakuu wake walikuwa safi kuliko theluji, Walikuwa weupe kuliko maziwa; Miili yao, walikuwa wekundu kuliko marijani, Na umbo lao kama yakuti samawi.
Leave a Reply