Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Rispa
2 Samweli 3 : 7
7 ⑮ Basi Sauli alikuwa na suria, jina lake akiitwa Rispa, binti Aya; Ishboshethi akamwuliza Abneri, Kwa nini umeingia kwa suria ya babangu?
2 Samweli 21 : 11
11 Kisha Daudi akaambiwa hayo aliyoyafanya huyo Rispa binti Aya, suria wa Sauli.
Leave a Reply