Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Rezin
2 Wafalme 15 : 37
37 Zamani hizo akaanza BWANA kumtuma juu ya Yuda Resini mfalme wa Shamu, na Peka mwana wa Remalia.
2 Wafalme 16 : 9
9 ⑤ Na huyo mfalme wa Ashuru akamsikia; mfalme wa Ashuru akapanda juu ya Dameski, akautwaa, akawahamisha watu wake mateka mpaka Kiri, akamwua Resini.
Isaya 7 : 9
9 tena kichwa cha Efraimu ni Samaria, na kichwa cha Samaria ni mwana wa Remalia. Ikiwa hamtasimama imara katika imani, hamtathibitika kamwe.
Isaya 8 : 8
8 naye atapita, atapita kwa kasi na kuingia Yuda; atafurika na kupita katikati, atafika hadi shingoni; na kule kuyanyosha mabawa yake kutaujaza upana wa nchi yako, Ee Imanueli.
Isaya 9 : 11
11 Kwa sababu hiyo BWANA atawainua adui wa Resini juu yake, naye atawachochea adui zake;
Ezra 2 : 48
48 wazawa wa Resini, wazawa wa Nekoda, wazawa wa Gazamu;
Nehemia 7 : 50
50 wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda;
Leave a Reply