Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia rangi ya njano
Mambo ya Walawi 13 : 30
30 ndipo kuhani ataliangalia hilo pigo; ikiwa pigo limeingia ndani kuliko ngozi yenyewe, na nywele zilizomo kuwa za rangi ya manjano na nyembamba, ndipo kuhani atasema kwamba ni najisi, maana ni kipwepwe, ni ukoma wa kichwa au wa kindevu.
Leave a Reply