Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia rafiki wa kike
Mithali 31 : 3
3 Usiwape wanawake nguvu zako; Wala moyo wako usiwape wale wanaowaharibu wafalme.
Waraka kwa Waebrania 13 : 4
4 Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.
Waefeso 5 : 25
25 Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda kanisa, akajitoa kwa ajili yake;
Leave a Reply