Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Potifa
Mwanzo 37 : 36
36 ⑲ Nao Wamidiani wakamuuza huko Misri, kwa Potifa, mmoja wa maofisa wa Farao, mkuu wa askari walinzi.
Mwanzo 39 : 1
1 Basi Yusufu akaletwa mpaka Misri, naye Potifa, ofisa wa Farao, mkuu wa askari walinzi, mtu wa Misri, akamnunua mkononi mwa hao Waishmaeli waliomleta huko.
Leave a Reply