Biblia inasema nini kuhusu Pipa – Mistari yote ya Biblia kuhusu Pipa

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Pipa

1 Wafalme 17 : 12
12 ⑤ Naye akasema, Kama BWANA, Mungu wako, aishivyo, sina mkate, ila konzi ya unga katika pipa, na mafuta kidogo katika chupa; nami ninaokota kuni mbili ili niingie nijipikie mwenyewe na mwanangu, tule kisha tufe.

1 Wafalme 17 : 14
14 ⑦ Kwa kuwa BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Lile pipa la unga halitapunguka, wala ile chupa ya mafuta haitaisha, hata siku ile BWANA atakapoleta mvua juu ya nchi.

1 Wafalme 17 : 16
16 ⑩ Lile pipa la unga halikupunguka, wala ile chupa ya mafuta haikuisha, sawasawa na neno la BWANA alilolinena kwa kinywa cha Eliya.

1 Wafalme 18 : 33
33 Kisha akazipanga zile kuni, akamkata yule ng’ombe vipande vipande, akaviweka juu ya kuni. Akasema, Jazeni mapipa manne maji, mkayamwage juu ya sadaka ya kuteketezwa, na juu ya kuni.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *