Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Penueli
Mwanzo 32 : 31
31 Jua likamzukia akivuka Penueli, akachechemea kwa sababu ya paja la mguu wake.
Waamuzi 8 : 9
9 Naye akawaambia hao watu wa Penieli nao, akisema, Nitakapokuja tena kwa amani,[11] nitaubomoa mnara huu.
Waamuzi 8 : 17
17 Kisha akaubomoa mnara wa Penieli, na kuwaua watu wa mji huo.
1 Wafalme 12 : 25
25 Ndipo Yeroboamu akajenga Shekemu katika milima ya Efraimu, akakaa huko. Akatoka huko akajenga Penueli.
1 Mambo ya Nyakati 4 : 4
4 na Penueli, babaye Gedori, na Ezeri, babaye Husha. Hao ndio wana wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrata, babaye Bethlehemu.
1 Mambo ya Nyakati 8 : 25
25 na Ifdeya, na Penueli; walikuwa wana wa Shashaki.
Leave a Reply