Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Pelaya
1 Mambo ya Nyakati 3 : 24
24 Na wana wa Elioenai; Hodavia, na Eliashibu, na Pelaya, na Akubu, na Yohana, na Delaya, na Anani, watu saba.
Nehemia 8 : 7
7 Tena Yeshua, na Bani, na Sherebia, na Yamini, na Akubu, na Shabethai, na Hodai, na Maaseya, na Kelita, na Azaria, na Yozabadi, na Hanani, na Pelaya, nao ni Walawi, wakawafahamisha watu torati; na watu wakasimama mahali pao.
Nehemia 10 : 10
10 na ndugu zao, Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani;
Leave a Reply