Biblia inasema nini kuhusu Pauni – Mistari yote ya Biblia kuhusu Pauni

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Pauni

1 Wafalme 10 : 17
17 Na vigao mia tatu vya dhahabu iliyofuliwa; kila kigao kimoja kilipata mane tatu za dhahabu. Mfalme akaviweka katika nyumba ya msitu wa Lebanoni.

Ezra 2 : 69
69 wakatoa kadiri walivyoweza, na kutia katika hazina ya kazi hiyo, darkoni[6] za dhahabu elfu sitini na moja, na mane[7] za fedha elfu tano, na mavazi mia moja ya makuhani.

Nehemia 7 : 72
72 Na mabaki ya watu wakatoa darkoni za dhahabu elfu ishirini, na mane za fedha elfu mbili, na mavazi ya makuhani sitini na saba.

Yohana 12 : 3
3 Basi Mariamu akatwaa ratili ya marhamu ya nardo safi yenye thamani nyingi, akampaka Yesu miguu, akamfuta miguu kwa nywele zake. Nayo nyumba pia ikajaa harufu ya marhamu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *