Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Obed
Ruthu 4 : 22
22 na Obedi akamzaa Yese; na Yese akamzaa Daudi.
1 Mambo ya Nyakati 2 : 12
12 na Boazi akamzaa Obedi; na Obedi akamzaa Yese;
Mathayo 1 : 5
5 Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu; Boazi akamzaa Obedi kwa Ruthu; Obedi akamzaa Yese;
Luka 3 : 32
32 ⑬ wa Yese, wa Obedi, wa Boazi, wa Salmoni, wa Nashoni,
1 Mambo ya Nyakati 2 : 38
38 na Obedi akamzaa Yehu; na Yehu akamzaa Azaria;
1 Mambo ya Nyakati 11 : 47
47 Elieli, na Obedi, na Yaasieli Mmesobai.
1 Mambo ya Nyakati 26 : 7
7 Wana wa Shemaya; Othni, na Refaeli, na Obedi, na Elzabadi, nduguze walikuwa mashujaa, Elihu, na Semakia.
2 Mambo ya Nyakati 23 : 1
1 Katika mwaka wa saba Yehoyada alijasiri, akawatwaa makamanda wa mamia, Azaria mwana wa Yerohamu, na Ishmaeli mwana wa Yehohanani, na Azaria mwana wa Obedi, na Maaseya mwana wa Adaya, na Elishafati mwana wa Zikri, akapatana nao.
Leave a Reply