Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Nyota
Isaya 13 : 10
10 ③ Maana nyota za mbinguni na matangamano havitatoa nuru yake; jua litatiwa giza wakati wa kucha kwake, na mwezi utaacha nuru yake isiangaze.
Ayubu 26 : 13
13 ⑳ Hizo mbingu hupambwa kwa roho yake; Mkono wake umemchoma nyoka aendaye mbio.
Ayubu 9 : 9
9 Yeye afanyaye hizo nyota za Dubu, na Orioni, na hicho Kilimia, Na makundi ya nyota ya kusini.
Leave a Reply