Biblia inasema nini kuhusu Nyota – Mistari yote ya Biblia kuhusu Nyota

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Nyota

Isaya 13 : 10
10 ③ Maana nyota za mbinguni na matangamano havitatoa nuru yake; jua litatiwa giza wakati wa kucha kwake, na mwezi utaacha nuru yake isiangaze.

Ayubu 26 : 13
13 ⑳ Hizo mbingu hupambwa kwa roho yake; Mkono wake umemchoma nyoka aendaye mbio.

Ayubu 9 : 9
9 Yeye afanyaye hizo nyota za Dubu, na Orioni, na hicho Kilimia, Na makundi ya nyota ya kusini.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *