Biblia inasema nini kuhusu Nyika – Mistari yote ya Biblia kuhusu Nyika

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Nyika

Kumbukumbu la Torati 32 : 10
10 Alimkuta katika nchi ya ukame, Na katika jangwa tupu litishalo; Alimzunguka, akamtunza; Akamhifadhi kama mboni ya jicho;

Mathayo 4 : 1
1 ⑮ Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi.⑯

Marko 1 : 13
13 Akawako huko jangwani siku arubaini, hali akijaribiwa na Shetani; naye alikuwa pamoja na wanyama wa mwituni, na malaika walikuwa wakimhudumia.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *