Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Nyasi
Mithali 27 : 25
25 Manyasi hukatwa, na majani mabichi huchipua, Na mboga ya mlimani hukusanywa.
Isaya 15 : 6
6 Kwa maana maji ya Nimrimu yamekuwa mahali palipoharibika, kwa kuwa majani yamekauka, miche imenyauka, majani mabichi yamekoma.
1 Wakorintho 3 : 12
12 Lakini kama mtu akijenga juu ya msingi huo, dhahabu au fedha au mawe ya thamani, au miti au majani au manyasi, kazi ya kila mtu itakuwa dhahiri.
Leave a Reply