Biblia inasema nini kuhusu Nyasi – Mistari yote ya Biblia kuhusu Nyasi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Nyasi

Mithali 27 : 25
25 Manyasi hukatwa, na majani mabichi huchipua, Na mboga ya mlimani hukusanywa.

Isaya 15 : 6
6 Kwa maana maji ya Nimrimu yamekuwa mahali palipoharibika, kwa kuwa majani yamekauka, miche imenyauka, majani mabichi yamekoma.

1 Wakorintho 3 : 12
12 Lakini kama mtu akijenga juu ya msingi huo, dhahabu au fedha au mawe ya thamani, au miti au majani au manyasi, kazi ya kila mtu itakuwa dhahiri.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *