Biblia inasema nini kuhusu Nyara – Mistari yote ya Biblia kuhusu Nyara

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Nyara

1 Samweli 17 : 54
54 Naye Daudi akakitwaa kichwa chake yule Mfilisti na kukileta Yerusalemu; lakini silaha zake akaziweka hemani mwake.

1 Samweli 21 : 9
9 Yule kuhani akasema, Upanga wa Goliathi, yule Mfilisti, uliyemwua katika bonde la Ela, tazama, upo hapa, umefungwa ndani ya nguo nyuma ya naivera; ukipenda kuuchukua, haya! Uchukue, maana hapa hapana mwingine ila huo tu. Daudi akasema, Hapana mwingine kama ule; haya! Nipe.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *