Biblia inasema nini kuhusu Ngozi – Mistari yote ya Biblia kuhusu Ngozi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Ngozi

Mwanzo 3 : 21
21 BWANA Mungu akawafanyia Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.

Kutoka 25 : 5
5 na ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na ngozi za pomboo,[27] na miti ya mjohoro,

Hesabu 4 : 14
14 nao wataweka vyombo vyake vyote juu yake ambavyo wavitumia katika madhabahu, vyetezo, na nyuma, na miiko, na mabakuli, vyombo vyote vya hiyo madhabahu; nao watatandika juu yake ngozi za pomboo,[10] na kutia miti yake mahali pake.

Mambo ya Walawi 13 : 39
39 ndipo kuhani ataangalia; ikiwa vile vipaku ving’aavyo vilivyo katika ngozi ya mwili wake ni vyeupe kidogo; ni mba iliyotokeza katika ngozi; yeye ni safi.

Kumbukumbu la Torati 28 : 27
27 BWANA atakupiga kwa majipu ya Misri, na kwa bawasiri, na kwa pele, na kwa kujikuna, ambayo hupati kupoa.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *