Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Ngozi
Mwanzo 3 : 21
21 BWANA Mungu akawafanyia Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.
Kutoka 25 : 5
5 na ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na ngozi za pomboo,[27] na miti ya mjohoro,
Hesabu 4 : 14
14 nao wataweka vyombo vyake vyote juu yake ambavyo wavitumia katika madhabahu, vyetezo, na nyuma, na miiko, na mabakuli, vyombo vyote vya hiyo madhabahu; nao watatandika juu yake ngozi za pomboo,[10] na kutia miti yake mahali pake.
Mambo ya Walawi 13 : 39
39 ndipo kuhani ataangalia; ikiwa vile vipaku ving’aavyo vilivyo katika ngozi ya mwili wake ni vyeupe kidogo; ni mba iliyotokeza katika ngozi; yeye ni safi.
Kumbukumbu la Torati 28 : 27
27 BWANA atakupiga kwa majipu ya Misri, na kwa bawasiri, na kwa pele, na kwa kujikuna, ambayo hupati kupoa.
Leave a Reply