Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Nest
Hesabu 24 : 21
21 Kisha akamwangalia Mkeni, akatunga mithali yake, akasema, Makao yako yana nguvu, Na kiota chako kimewekwa katika jabali.
Kumbukumbu la Torati 32 : 11
11 Mfano wa tai ataharikishaye kioto chake; Na kupapatika juu ya makinda yake, Alikunjua mbawa zake, akawatwaa, Akawachukua juu ya mbawa zake;
Leave a Reply