Biblia inasema nini kuhusu Necho – Mistari yote ya Biblia kuhusu Necho

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Necho

2 Mambo ya Nyakati 35 : 20
20 Baada ya hayo yote, alipokwisha Yosia kulitengeneza hekalu, Neko, mfalme wa Misri, akakwea ili kupigana Karkemishi karibu na Frati; naye Yosia akatoka juu yake.

2 Mambo ya Nyakati 35 : 22
22 Lakini Yosia hakukubali kumwachia, akajibadilisha apate kupigana naye, asiyasikilize maneno ya Neko, yaliyotoka kinywani kwa Mungu, akaja kupigana bondeni mwa Megido.

2 Mambo ya Nyakati 36 : 4
4 Mfalme wa Misri akamtawaza Eliakimu nduguye awe mfalme juu ya Yuda na Yerusalemu, akambadilisha jina lake kuwa Yehoyakimu. Neko akamtwaa Yehoahazi nduguye, akamchukua mpaka Misri.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *