Biblia inasema nini kuhusu mwenye tamaa – Mistari yote ya Biblia kuhusu mwenye tamaa

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia mwenye tamaa

Warumi 1 : 26 – 27
26 Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili;
27 wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *