Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Mushi
Kutoka 6 : 19
19 Na wana wa Merari; ni Mali, na Mushi. Hizi ni jamaa za hao Walawi kulingana na vizazi vyao.
1 Mambo ya Nyakati 6 : 19
19 ⑳ Wana wa Merari; Mali, na Mushi. Na hizi ndizo jamaa za Walawi, kulingana na koo za baba zao.
1 Mambo ya Nyakati 6 : 47
47 mwana wa Mali, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.
Leave a Reply