Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Muda
Kutoka 28 : 16
16 Kitakuwa mraba, tena cha kukunjwa; urefu wake utakuwa shubiri moja, na upana wake shubiri moja.
Kutoka 39 : 9
9 Kilikuwa mraba; wakakifanya kile kifuko cha kifuani kwa kukikunja; urefu wake ulikuwa shibiri, na upana wake ulikuwa shibiri, tena kilikuwa ni cha kukunjwa.
Leave a Reply