Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Moza
1 Mambo ya Nyakati 2 : 46
46 Naye Efa, suria yake Kalebu, alimzaa Harani, na Mosa, na Gazezi; naye Harani akamzaa Gazezi.
1 Mambo ya Nyakati 8 : 37
37 na Mosa akamzaa Binea; na mwanawe huyo alikuwa Refaya, na mwanawe huyo ni Ekasa, na mwanawe huyo ni Aseli;
1 Mambo ya Nyakati 9 : 43
43 na Mosa akamzaa Binea; na mwanawe huyo alikuwa Refaya, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli;
Leave a Reply